Na Barnabas Kisengi-Dodoma Mwenyekiti kanisa la Waadventista Wasabato jimbo la kusini Mwa Tanzania Mch. Mark Walwa Malekana ametoa wito kwa vijana kuwa na mpango mkakati wa wa kufanya kazi kwa bidii ili kujikwamua kiuchumi na kuachana na dhana ya utegemezi kutoka kwa wazazi. Mchungaji Malekana amebainisha hayo leo Juni,12,2021 katika mwendelezo wa mkutano wa shangwe
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed